Christophe Mboso, mshirika wa rais Félix Tshisekedi, ameteuliwa kuwa Spika wa Bunge. Alikuwa mkuu wa ofisi ya muda ya Bunge. Nafasi ya makamu wa kwanza wa rais imechukuliwa na Jean-Marc Kabund.
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results